Pages


Photobucket

Wednesday, October 31, 2012

TMEA YATOA MSAADA WA KOMPYUTA KWA TANGO

 Mkurugenzi Mtendaji wa Muungano wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Tanzania (TANGO), Ngunga Tepani akiangalia kompyuta, skana, printa pamoja na king’amuzi cha inteneti vilivyotolewa na TradeMark East Afrika (TMEA). Kushoto ni Mkurugenzi Mkazi wa TMEA, Paulina Elago. Makabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Muungano wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Tanzania (TANGO), Ngunga Tepani akizungumza katika hafla hiyo. Kulia ni  Mkurugenzi Mkazi wa TMEA, Paulina Elago.(Picha na Habari Mseto Blog)

No comments:

Post a Comment