Pages


Photobucket

Tuesday, October 23, 2012

RAIS JAKAYA KIKWETE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI UVCCM MJINI DODOMA


Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi zawadi maalum Mwakilishi kutoka chama tawala cha  Zimbabwe Chipanga Kudzanai, kutambua mchango wa chama hicho kwa CCM, wakati wa Mkutano Mkuu wa nane wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) leo  Okt 23, mjini Dodoma.
Mjumbe kutoka mkoa wa Mwanza, akipiga kura kuchagua Mwenyekiti, wakati wa Mkutano Mkuu wa UVCCM mjini Dodoma
Katibu Mkuu wa UVCCM, Martine Shigela akitoa utaratibu kabla ya kuanza uchaguzi mkuu wa jumuia hiyo leo mjini Dodoma
Shamra shamra zikihanikiza kwenye ukumbi wa Mwalimu Nyerere katika mkutano wa nane wa UVCCM mjini Dodoma
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akifungua mkutano Mkuu wa nane wa Umoja wa Vijana wa CCM mjini Dodoma leo
Wagombea waliokuwa wanawania nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM. Kutoka kushoto, Lulu Abdalla Mshamu ambaye alijitoa wakati akijieleza kwa wajumbe,Khamis Sadifa Juma na Msaraka Rashid Simai ambao ndio waliochuana

No comments:

Post a Comment