Banner likiwa 
limebandikwa mjini kabisa 
 
 
Sehemu ya Viongozi wa Juu wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) watakapokaa 
leo wakati wa sherehe za Mahafali ya Tatu ya Chuo Kikuu cha Dodoma 
yanayotarajia kufanyika leo tarehe 21 na kesho tarehe 22 Novemba 2012 
katika viwanja vya Chimwaga Vilivyopo Chuo Hapo
 Baadhi ya Sehemu watakazokaa Wahitimu Wa
 Kozi Mbalimbali wa Chuo Kikuu Cha Dodoma katika mahafali ya tatu ya 
Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) yanatarajia kufanyika leo tarehe 21 na 
kesho tarehe 22 Novemba 2012 katika Viwanja vya Chimwaga vilivyopo 
Chuoni Hapo
 
No comments:
Post a Comment