Pages


Photobucket

Monday, November 26, 2012

ZIARA YA RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN NCHINI VIETNAM


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi katika Taasisi ya Kimataifa ya Sayansi ya Wanyama nje ya Mji wa Vietnam, akiwa katika ziara ya rasmi ya Kiserikali na ujumbe wake,katika kukuza uhusiano na Mashirikiano.[Picha na Ramadhan Othman,Viet Nam.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) Mama Mwanamwema Shein, Waziri wa Kazi, uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika Haroun Ali Suleiman,pamoja na maafisa aliofuatananao wakisikiliza taariakisalimiana na Viongozi katika Taasisi ya Kimataifa ya Sayansi ya Wanyama nje ya Mji wa Vietnam, akiwa katika ziara ya rasmi ya Kiserikali na ujumbe wake,katika kukuza uhusiano na Mashirikiano. (Picha na Ramadhan Othman,Viet Nam)
Ujumbe wa Serikali ya mapinduzi ya zanzibar,na Viongozi wa Taasisi ya Kimataifa ya Sayansi ya Wanyama,wakisikiliza Taarifa ya tafiti mbali mbali zilizofanywa na Taasisi hiyo,zilizotolewa wakati ujumbe huo ulipowasili kituoni hapo katika kukuza uhusiano na ushirikiano baina ya pande hizo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia) akipata maelezo kutoka kwa Msaidizi Mkuu wa Taasisi ya Kimataifa ya Sayansi ya Wanyama Vu Chi Cuong,alipotembelea mabanda ya ufugaji wa kuku wa nyama na Mayai,akiwa katika ziara kiserikali nchini Vietnam.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) na Ujumbe wake wakipata maelezo kutoka kwa Mtembezaji wageni katika makumbusho ya Maandishi ya kale,Nguyen Thi Hang, wakiwa katika Ziara ya Kiserikali Nchini Viet Nam.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) na Ujumbe wake wakipata maelezo kutoka kwa Mtembezaji wageni katika makumbusho ya Maandishi ya kale,Nguyen Thi Hang,wakiwa katika Ziara ya Kiserikali Nchini Viet Nam.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) na Ujumbe wake wakiwa katika picha ya pamoja na Mtembezaji wageni katika makumbusho ya Maandishi ya kale,Nguyen Thi Hang,(wa sita kati) baada ya kutembelea sehemu mbali mbali kumbusho hilo,wakiwa katika Ziara ya Kiserikali Nchini Viet Nam.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) na Mama Mwanamwema Shein,(kushoto) na Mtembezaji wageni katika makumbusho ya Maandishi ya kale,Nguyen Thi Hang,wakiwa katika picha baada kutembelea sehemu mbali mbali kumbusho hilo,wakiwa katika Ziara ya Kiserikali Nchini Viet Nam.

No comments:

Post a Comment