Pages


Photobucket

Sunday, November 11, 2012

MATUKIO YA MKUTANO MKUU WA NANE WA CCM KATIKA PICHA

Asha Baraka akiwa ndani ya banda la gazeti la Uhuru kwenye viwanja vya Kizota Dodoma.

Viwanja vya Kizota vikiwa vimefurika wajumbe na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi




Biashara  za aina nyingi zikiwa zimetanda kila kona.


Ukumbi ukiwa umefurika wananchama na wajumbe wa Chama.

Waalikwa kutoka vyama vya upinzani.


Wajasiriamali hawakuwa nyuma kuuza bidhaa zao, Mkutano Mkuu wa nane wa CCM ulioanza leo umefungua fursa pekee kwa wafanyabiashara wadogo wadogo.


Huduma za vyakula vya aina zote zinapatikana Kizota,eneo ambalo CCM inafanya Mkutano Mkuu wa nane.


Wajumbe kutoka Mbeya wakionyesha ukakamavu wao kwenye ukumbi wa Mkutano Kizota leo.

No comments:

Post a Comment