Pages


Photobucket

Saturday, November 24, 2012

MWALIMU MWAKASEGE AWASILI, WASHINGTON, DC NA AZUNGUMUZA NA VIONGOZI WA DINI


Mwalimu Chritopher Mwakasege amingia jana Washington, DC na leo Ijumaa November 23, 2012 kuanzia saa 4 asubuhi ET ameongea na viongozi mbalimbali wa dini kutoka majimbo mbalimbali waliofika Washington, DC tayari kuanza semina itayoaanza leo jioni kuanzaia saa 10 jioni (4pm ET) kwenye hoteli ya Hiilton iliyopoa Greenbelt, Maryland 7810 Waker DR, Greenbelt, MD
Jackson Mollel kiongozi kutoka Minnesota akiongea machache na kutoa utambulisho kwa viongozi wengine walifika Washington, DC kutoka kila kona ya Amerika.   
  Mchungaji Malekela akifungua mkutano kwa maombi. Mngodo kutoka Minnesota ambae ndie aliyekua mshereheshaji kwenye mkutano huo nae akiomba kabla ya mkutano kuanza.
Ps. Samson Ananiah kutoka Minnesota akiimba wimbo akishirikiana namchungaji Malekela kutoka Washington, DC kabla ya mkutano kuanza.

 Juu na chini ni Viongozi mbalimbali wa dini kutoka majimbo mbalimbali yaliyopo hapa Marekani wakiwa kwenye mkutano na Mwalimu Mwakasege uliofanyika leo Hilton Hotel Greenbelt, Maryland. Kwa picha zaidi tembelea Vijimambo.Blog 

No comments:

Post a Comment