Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa 
Jomo Kenyatta jijini Nairobi Kenya Jumatano Novemba 28, 2012 tayari 
kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa barabara ya Arusha-Namanga-Athi River 
pamoja na Mkutano wa Wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika 
Mashariki utaozungumzia maendeleo ya miundombinu. 
Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili
 katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi 
Kenya Jumatano Novemba 28, 2012 tayari kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa
 barabara ya Arusha-Namanga-Athi River pamoja na Mkutano wa Wakuu wa 
nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utaozungumzia maendeleo ya
 miundombinu.Kulia ni Balozi wa Tanzania Nchini Kenya,Mh. Batilda – 
Salha Burhan.
Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kushoto) akiwa katika mazungumzo 
na Kiongozi wa Jumuiya ya Waislamu wa Ismailia Mtukufu Aga Khan 
(kushoto) katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini 
Nairobi Kenya Jumatano Novemba 28, 2012.Rais Kikwete yupo nchini Kenya 
kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa barabara ya 
Arusha-Namanga-Athi River pamoja na Mkutano wa Wakuu wa nchi wanachama 
wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utaozungumzia maendeleo ya 
miundombinu.Wengine Pichani ni Rais wa Kenya,Mh. Mwai Kibaki (katikati) 
na Rais wa Burundi,Mh. Nkurunzinzah.
Baadhi
 ya mawaziri na makatibu wakuu wa Tanzania waliohudhuria sherehe za 
uzinduzi rasmi wa barabara ya Arusha – Namanga – Athi River yenye urefu 
wa kilometa 104.4 kwa upande wa Tanzania.
Baadhi ya Maafisa wa Jeshi la nchini Kenya wakiwa kwenye Sherehe hiyo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kwenye sherehe za ufunguzi wa barabara ya Arusha-Namanga-Athi River
Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama za Jumuiya 
ya Afrika Mashariki wakipata maelezo ya Barabara hiyo itakavyokuwa 
kutoka kwa Injinia.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipanda mti.
Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika uzinduzi rasmi wa Barabara ya 
Arusha – Namanga – Athi River yenye urefu wa kilometa 104.4 kwa upande 
wa Tanzania.
Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama za Jumuiya 
ya Afrika Mashariki wakikata utepe kwa pamoja kuzindua rasmi wa Barabara
 ya Arusha – Namanga – Athi River yenye urefu wa kilometa 104.4 kwa 
upande wa Tanzania.
Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama za Jumuiya 
ya Afrika Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na wadau mbalimbali 
waliofanikisha ujenzi wa barabara ya Arusha – Namanga – Athi River.
******************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************* 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa 
Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiangalia mfano wa jengo jipya la makao 
makuu ya Jumuiya hiyo pamoja na maelezo yake baada ya kulifungua rasmi 
 Novemba 28, 2012 jijini Arusha
 Mfano wa  jengo la Makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa 
nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakifunua pazia  kufungua 
rasmi jengo jipya la makao makuu ya Jumuiya  Novemba 28, 2012 jijini 
Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na wakuu wenzie wa nchi wanachama wa 
Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na wadau 
pamoja na wabunge wa Afrika Mashariki
Jengo La Jumuiya Ya Afrika Mashariki Nalo Lazinduliwa
Habari ni kwa hisani ya  IKULU Blog
 
 


















No comments:
Post a Comment