Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa 
Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiongoza harambe ya kuchangia 
ujenzi wa bweni la wanafunzi wa kike katika Chuo Kikuu cha Teofilo 
Kisanji, kinachomilikiwa na Kanisa la Moravian nchini Tanzania,Jimbo la 
Kusini Magharibi,usharika wa Ruanda mjini Mbeya.Katika Harambee hiyo,Mh.
 Lowassa pamoja na marafiki zake wakiweza kuchangia sh millioni 25 
kusaidia ujenzi huo.
Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa 
Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiendesha harambe ya kuchangia 
ujenzi wa bweni la wanafunzi wa kike katika Chuo Kikuu cha Teofilo 
Kisanji, kinachomilikiwa na Kanisa la Moravian nchini Tanzania,Jimbo la 
Kusini Magharibi,usharika wa Ruanda mjini Mbeya.Kulia ni Mkuu wa Wilaya 
ya Rungwe,Mh. Cripin Meela.
Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa 
Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akimuhamasisha mmoja wa waalikwa 
kuchangia katika harambe ya kuchangia ujenzi wa bweni la wanafunzi wa 
kike katika Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji, kinachomilikiwa na Kanisa la
 Moravian nchini Tanzania,Jimbo la Kusini Magharibi,usharika wa Ruanda 
mjini Mbeya.
Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa 
Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (wa pili kushoto) akifurahia jambo 
wakati alipokuwa katika Mazungumzo na Askofu Kiongozi wa Kanisa la 
Moravian Tanzania (KMT), Askofu  Alinikisa Cheyo (kushoto) wakati wa 
hafla ya harambe ya kuchangia ujenzi wa bweni la wanafunzi wa kike 
katika Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji, kinachomilikiwa na Kanisa la 
Moravian nchini Tanzania,Jimbo la Kusini Magharibi,usharika wa Ruanda 
mjini Mbeya..
Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa 
Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiagana na viongozi mbalimbali wa 
Chuo hicho mara baada ya kuongoza harambe ya kuchangia ujenzi wa bweni 
la wanafunzi wa kike katika Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji, 
kinachomilikiwa na Kanisa la Moravian nchini Tanzania,Jimbo la Kusini 
Magharibi,usharika wa Ruanda mjini Mbeya.
 
 

No comments:
Post a Comment