Viajana wa CCM wakishangilia kwa mtindo wa aina yake wakati wa sherehe hizo

Mamia ya wana-CCM Uwanja wa Kibandamaiti, wakati wa sherehe za 
wana-CCM wa Zanzibar kuipongeza safu mpya ya uongozi wa CCM Taifa

  Makatibu wa NEC, Mohamed Seif Khatib (Oganaizesheni na Asha-Rose
 Migiro (Siasa na Mambo ya Nje) wakiteta jambo wakati wa mkutano wa 
wana-CCM Zanzibar kuipongeza safu mpya ya uongozi wa CCM Taifa, kwenye 
viwanja vya Kibandamaiti, mkoa wa mjini

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiingia Uwanja wa 
Kibanadamaiti katika sherehe ya wana-CCM wa Zanzibar kupongeza safu mpya
 ya uongozi wa CCM Taifa. Wengine ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Vuai Ali 
Vuai, Naibu Katibu Mkuu (Bara) Mwigulu Nchemba na Katibu wa NEC, Itikadi
 na Uenezi Nape Nnauye.

 Makamu Mwenyekiti  wa CCM (Bara), Rais wa Zanzibar  Dk. Ali Mohamed 
Sheni akiingia uwanjani wa Kibandamaiti, Wilaya ya Mjini, wakati wa 
sherehe za Wana-CCM Zanzibar kuipongeza safu mpya ya uongozi. Kulia ni 
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Watatu Naibu Katibu Mkuu 
(Bara) Vuai Ali Vuai

Makamu Mwenyekiti  wa CCM (Bara), Rais wa Zanzibar  Dk. Ali Mohamed 
Sheni akihutubia uwanja wa Kibandamaiti, Wilaya ya Mjini, wakati wa 
sherehe za Wana-CCM Zanzibar kuipongeza safu mpya ya uongozi. Kulia ni 
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Watatu Naibu Katibu Mkuu 
(Bara) Vuai Ali Vuai.Picha na Bashir Nkromo
 
 


No comments:
Post a Comment