Pages


Photobucket

Saturday, November 17, 2012

HIVI NDIVYO ILIVYO KUWA WAKATI KINANA AKIRIPOTI RASMI OFISI ZA CCM LUMUMBA,JANA JIJINI DAR

 Katibu Mkuu mpya wa CCM, Abdulrahman Kinana, akimsalimia Nyakia Ali wa Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), alipokaribishwa na Wafanyakazi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, baada ya kuwasili kwa ajili ya kuripoti kwa mara ya kwanza tangu kuteuliwa kwake.
 Kinana akisaini kitabu, baada ya kuingiza Ofisi yake ya Ukatibu Mkuu wa CCM, Ofisi Ndogo ya Mako Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.
Kinana akiwa na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye Ofisini kwake jana.

No comments:

Post a Comment