|  | 
| Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtuza msanii, Kasim Magembe, baada ya kuridhishwa na uhodari wake alipotumbuiza kwenye mkutano wa CCM uliofanyika uwanja wa Mpira, Geita leo | 
|  | 
| Nape Nnauye ,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akisalimiana na Machinga wa Katoro Geita | 
 
 



No comments:
Post a Comment