Pages


Photobucket

Thursday, November 29, 2012

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AREJEA ZIARANI KUTOKA VEITINAM


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Ali Mohamed Shein, alipowasili uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akivishwa shada la maua

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akimuelezea jambo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, akitokea ziarani nchi Vietinam.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Viongozi wa Serekali waliofika kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume.

Waandishi wa habari wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumzia ziara yake Nchini Vietinam na mafanikio ya ziara hiyo kwa Zanzibar na Wananchi wakev katika sekta ya Biashara na Uvuvi.

Chanzo ZanziNews 

No comments:

Post a Comment