Utafiti: Umaarufu Wa JK Waporomoka ( MWANANCHI)
KUONGEZEKA
 kwa matukio ya rushwa nchini kumesababisha umaarufu wa Rais Jakaya 
Kikwete kushuka kwa asilimia 20 katika miaka minne iliyopita, utafiti 
mpya unaonyesha.
Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Utafiti wa Kupunguza Umaskini (REPOA) 
kati ya Mei na Juni 2012 unaonyesha kwamba kiwango cha Rais Kikwete 
kukubalika kimeshuka kutoka asilimia 90 mwaka 2008 hadi asilimia 71 
mwaka huu.
Pia, mwaka huu watu saba kati ya kumi walioshiriki katika utafiti huo 
waliihusisha ofisi ya Rais kwa rushwa na kwamba hali hiyo ni tofauti na 
mwaka  2008 ambapo walikuwa  watu watano kati ya 10, utafiti huo 
ulieleza.
Rais Kikwete ambaye hivi karibuni.... Soma zaidi... http://www.kwanzajamii.com
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment