Pages


Photobucket

Friday, November 30, 2012

MAADALIZI YA MAHAFALI YA 47 YA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) KAMPASI YA DODOMA YAPAMBA MOTO

Hatimaye ile siku ambayo imekuwa ikisubiliwa kwa kipindi kirefu sasa imefika,Ni kuhusu Mahafali ya 47 ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Kampasi ya Dodoma ambayo inatarajiwa kufanyika kesho Tarehe 1/12/2012 siku ya jumamosi.
Kwa siku ya  leo zimekuwepo pilika pilika mbalimbali katika chuo hicho kwa kuwahusisha  wahitimu pamoja na waandaaji  wa Mahafali hiyo.
Katika hatua nyingine HOTEL YA FIFTY SIX ( iliyoko nyuma ya Chuo hicho) ili kudumisha ujirani mwema  Imejitolea  kuwasaidia bure wahitimu hao kutumia kumbi za nje (Eneo la wazi la Hotel hiyo) kwa ajili ya kusherekea Mahafali hayo ingawa kwa yeyote atakayependa kufanya hivyo atalazimika kununua chakula na vinywaji katika Hotel hiyo.
 
    BI. SHADOLLO  WARDEN (KULIA) AKITOA  BAAADHI YA MAELEKEZO 

No comments:

Post a Comment