 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Gharib Bilal na Mkewe 
mama Aisha Bilal wakishuka kwebye ndege mara baada ya kuwasili kwenye 
uwanja wa ndege wa Mpanda mkoani Katavi kwa ajili ya uzinduzi wa mkoa 
mpya wa Katavi unaofanyika mjini mpanda kesho, Makamu wa Rais pia 
amezinddua uwanja wa ndege wa Mpanda na kuzindua Kongamano la Tathimini 
ya Mkutano wa Uwekezaji Ukanda wa Ziwa Tanganyika  uliofanyika Oktoba 17
 mwaka jana na kushirikisha mikoa mitatu ya Rukwa, Kigoma a kufanyika 
mjini mpanda ambapo  sasyamekuwa makao makuu ya Mkoa wa Katavi
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Gharib Bilal na Mkewe 
mama Aisha Bilal wakishuka kwebye ndege mara baada ya kuwasili kwenye 
uwanja wa ndege wa Mpanda mkoani Katavi kwa ajili ya uzinduzi wa mkoa 
mpya wa Katavi unaofanyika mjini mpanda kesho, Makamu wa Rais pia 
amezinddua uwanja wa ndege wa Mpanda na kuzindua Kongamano la Tathimini 
ya Mkutano wa Uwekezaji Ukanda wa Ziwa Tanganyika  uliofanyika Oktoba 17
 mwaka jana na kushirikisha mikoa mitatu ya Rukwa, Kigoma a kufanyika 
mjini mpanda ambapo  sasyamekuwa makao makuu ya Mkoa wa Katavi  Makamu
 wa Rais Dkt. Gharib Bilal akisalimiana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda 
mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda, kushoto ni Mkuu
 wa mkoa wa Katavi Dkt. Rajab Rutengwe na katikati ni mama Tunu Pinda.
Makamu
 wa Rais Dkt. Gharib Bilal akisalimiana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda 
mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda, kushoto ni Mkuu
 wa mkoa wa Katavi Dkt. Rajab Rutengwe na katikati ni mama Tunu Pinda. 
Makamu wa Rais Dkt. Gharib Bilal 
kushoto akijadiliana jambo na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati wa 
Kongamano la kutathmini Mafanikio na Changamoto baada ya mkutano wa 
Uwekezaji wa Ukanda wa Ziwa Tanganyika Kigoma na Rukwa uliofanyika 
Oktoba 17 mwaka jana mjini Mpanda
 Waziri
 Mkuu Mizengo Pinda akizungumza katika uzinduzi wa Uwanja wa ndege wa 
Mpanda, kshoto ni Makamu wa Rais Dkt. Gharib Bilal na kulia ni mama 
Zakia Bilal.
Waziri
 Mkuu Mizengo Pinda akizungumza katika uzinduzi wa Uwanja wa ndege wa 
Mpanda, kshoto ni Makamu wa Rais Dkt. Gharib Bilal na kulia ni mama 
Zakia Bilal. Makamu wa Rais Dkt. Gharib Bilal akizungumza wakati wa uzinduzi wa  uwanja wa ndege wa Mpanda mkoani Katavi leo mchana.
Makamu wa Rais Dkt. Gharib Bilal akizungumza wakati wa uzinduzi wa  uwanja wa ndege wa Mpanda mkoani Katavi leo mchana. Katibu
 Mkuu Wizara ya Uchukuzi Mhandisi Omar Chambo akitoa taarifa ya ujenzi 
wa uwanja huo kwa Makamu wa Rais Dkt. Gharib Bilal wakati wa uzinduzi 
mjini mpanda leo.
Katibu
 Mkuu Wizara ya Uchukuzi Mhandisi Omar Chambo akitoa taarifa ya ujenzi 
wa uwanja huo kwa Makamu wa Rais Dkt. Gharib Bilal wakati wa uzinduzi 
mjini mpanda leo. Naibu
 Waziri wa Uchukuzi Dkt. Charles Tizeba akimkaribisha Makamu wa Rais ili
 kuongea na wananchi wakati wa uzinduzi wa uwanja huo mjini Mpanda leo
Naibu
 Waziri wa Uchukuzi Dkt. Charles Tizeba akimkaribisha Makamu wa Rais ili
 kuongea na wananchi wakati wa uzinduzi wa uwanja huo mjini Mpanda leo Makamu wa Rais Dkt. Gharib Bilal akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi
 wa uwanja wa ndege wa Mpanda baada  ya kukamilika kwa ujenzi wa uwanja 
huo, kulia ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Mizengo
 Pinda na Naibu Waziri wa Uchukuzi Dkt. Charles Tizeba, kushoto ni Mama 
Zakia Bilal mke wa Makamu wa Rais.
 Makamu wa Rais Dkt. Gharib Bilal akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi
 wa uwanja wa ndege wa Mpanda baada  ya kukamilika kwa ujenzi wa uwanja 
huo, kulia ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Mizengo
 Pinda na Naibu Waziri wa Uchukuzi Dkt. Charles Tizeba, kushoto ni Mama 
Zakia Bilal mke wa Makamu wa Rais.
 Kutoka kulia ni Naibu Waziri wa 
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodluck Ole Medeye, Dkt. Mary 
Nagu Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji Ofisi ya Waziri Mkuu, Mama Tunu 
Pinda Mke wa Waziri Mkuu na Mama Zakia Gharib Bilal Mke wa Makamu wa 
Rais wakiwa katika uzinduzi huo Makamu
 wa Rais akisalimiana na Mary Nagu Waziri wa Uwekezaji na Uwekezaji mara
 baada ya kuwasili mjini Mpanda leo Katikati ni Mwenyekiti wa CCM Katavi
 Mselem na kutoka kulia ni Mbunge wa Mpanda mjini CHADEMA Mh.Said Arfi 
na Naibu Waziri wa Uchukuzi Dkt Charles Tizeba.
Makamu
 wa Rais akisalimiana na Mary Nagu Waziri wa Uwekezaji na Uwekezaji mara
 baada ya kuwasili mjini Mpanda leo Katikati ni Mwenyekiti wa CCM Katavi
 Mselem na kutoka kulia ni Mbunge wa Mpanda mjini CHADEMA Mh.Said Arfi 
na Naibu Waziri wa Uchukuzi Dkt Charles Tizeba.
 Makamu
 wa Rais akisalimiana na Mary Nagu Waziri wa Uwekezaji na Uwekezaji mara
 baada ya kuwasili mjini Mpanda leo Katikati ni Mwenyekiti wa CCM Katavi
 Mselem na kutoka kulia ni Mbunge wa Mpanda mjini CHADEMA Mh.Said Arfi 
na Naibu Waziri wa Uchukuzi Dkt Charles Tizeba.
Makamu
 wa Rais akisalimiana na Mary Nagu Waziri wa Uwekezaji na Uwekezaji mara
 baada ya kuwasili mjini Mpanda leo Katikati ni Mwenyekiti wa CCM Katavi
 Mselem na kutoka kulia ni Mbunge wa Mpanda mjini CHADEMA Mh.Said Arfi 
na Naibu Waziri wa Uchukuzi Dkt Charles Tizeba. Makamu wa Rais Dkt Gharib Bilal akivishwa skafu na vijana wa chipukizi mjini Mpanda mara baada ya kuwasili mkoani Katavi leo.
Makamu wa Rais Dkt Gharib Bilal akivishwa skafu na vijana wa chipukizi mjini Mpanda mara baada ya kuwasili mkoani Katavi leo. Makamu
 wa Rais akisalimiana akipungia mkono wananchi waliofika kumlaki kwenye 
uwanja wa ndege wa Mpanda mkoani Katavi leo, kushoto ni Mkuu wa mkoa wa 
Katavi Dkt Rajab Rutengwe na kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa Bw. Mselem.
Makamu
 wa Rais akisalimiana akipungia mkono wananchi waliofika kumlaki kwenye 
uwanja wa ndege wa Mpanda mkoani Katavi leo, kushoto ni Mkuu wa mkoa wa 
Katavi Dkt Rajab Rutengwe na kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa Bw. Mselem. Makamu wa Rais Dkt Gharib Bilal na Mkewe Mama Zakia  Bilal wakiangalia ngoma katika uwanja wa ndege wa  Mpanda
Makamu wa Rais Dkt Gharib Bilal na Mkewe Mama Zakia  Bilal wakiangalia ngoma katika uwanja wa ndege wa  Mpanda Mama
 Tunu Pinda akishiki kuchza ngoma za asili za mkoa wa Katavi kwenye 
uwanja wa ndege wa Mpanda wakati wa mapokezi ya Makamu wa Rais Dkt. 
Gharib Bilal.
Mama
 Tunu Pinda akishiki kuchza ngoma za asili za mkoa wa Katavi kwenye 
uwanja wa ndege wa Mpanda wakati wa mapokezi ya Makamu wa Rais Dkt. 
Gharib Bilal. Makamu wa Rais Dkt. Gharib Bilal akisalimiana na Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba Bw. Nehemia Kyando Mchechu
Makamu wa Rais Dkt. Gharib Bilal akisalimiana na Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba Bw. Nehemia Kyando Mchechu Waziri
 Mkuu Mh. Mizengo Pinda akifurahia jambo na Mzee Paul Kimiti Waziri Mkuu
 wa Zamani na Mbunge wa jimbo la Sumbawanga miaka iliyopita kwenye 
uwanja wa ndege wa Mapanda
Waziri
 Mkuu Mh. Mizengo Pinda akifurahia jambo na Mzee Paul Kimiti Waziri Mkuu
 wa Zamani na Mbunge wa jimbo la Sumbawanga miaka iliyopita kwenye 
uwanja wa ndege wa Mapanda Makamu
 wa Rais Dkt. Gharib Bilal akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kibondo Mh.
 Venance Mwamoto wakati wa mapokezi hayo, kulia ni Mkuu wa Mkoa wa 
Katavi Dkt Rajab Rutengwe.
Makamu
 wa Rais Dkt. Gharib Bilal akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kibondo Mh.
 Venance Mwamoto wakati wa mapokezi hayo, kulia ni Mkuu wa Mkoa wa 
Katavi Dkt Rajab Rutengwe. Waziri
 Mkuu Mizengo Pinda akimpa ishara ya Dole Mbunge wa Mpanda mjini CHADEMA
 Mh. Said Arfi, wakati wa mazungumzo yao kwenye uwanja wa ndege wa 
Mpanda katika mapokezi ya Makamu Wa  Rais Dkt. Gharib Bilal, Kauli mbiu 
ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dkt Rajab Rutegwe katika maendeleo mkoani 
Katavi inasema "SIASA NI MAENDELEO"
Waziri
 Mkuu Mizengo Pinda akimpa ishara ya Dole Mbunge wa Mpanda mjini CHADEMA
 Mh. Said Arfi, wakati wa mazungumzo yao kwenye uwanja wa ndege wa 
Mpanda katika mapokezi ya Makamu Wa  Rais Dkt. Gharib Bilal, Kauli mbiu 
ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dkt Rajab Rutegwe katika maendeleo mkoani 
Katavi inasema "SIASA NI MAENDELEO" kutoka
 kulia ni Mkuu wa mkoa wa Rukwa Injini Stella Manyanya, Mkuu wa mkoa wa 
Katavi Dkt. Rajab Rutengwe, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Issa Machibya 
na mwenyekiti wa CCM Mpanda Hamida Mbogo wakizungumza mawili matatu 
wakati wa mapokezi ya makamu wa Rais mjini Mpanda leo,
kutoka
 kulia ni Mkuu wa mkoa wa Rukwa Injini Stella Manyanya, Mkuu wa mkoa wa 
Katavi Dkt. Rajab Rutengwe, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Issa Machibya 
na mwenyekiti wa CCM Mpanda Hamida Mbogo wakizungumza mawili matatu 
wakati wa mapokezi ya makamu wa Rais mjini Mpanda leo, Waziri
 Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na Mzee Chrisant Mzindakaya ambaye ni 
mwekezaji mkoani Rukwa na wwekezaji wengine kutoka India, kushoto ni 
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dkt. Rajab Rutengwe.
Waziri
 Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na Mzee Chrisant Mzindakaya ambaye ni 
mwekezaji mkoani Rukwa na wwekezaji wengine kutoka India, kushoto ni 
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dkt. Rajab Rutengwe. Mkuu
 wa Mkoa wa Katavi Dkt. Rajab Rutengwe akizungumza katika kongamano hilo
 kwenye ukumbi wa Idara ya maji mjini Mpanda na kukaribisha wageni 
mbalimbali waliohudhuria kongamano hilo.
Mkuu
 wa Mkoa wa Katavi Dkt. Rajab Rutengwe akizungumza katika kongamano hilo
 kwenye ukumbi wa Idara ya maji mjini Mpanda na kukaribisha wageni 
mbalimbali waliohudhuria kongamano hilo. Mkuu
 wa mkoa wa Rukwa Injini Stella Manyanya akizungumza na kutoa taarifa ya
 mkoa wake katika suala zima la uwekezaji mkoani Kwake
Mkuu
 wa mkoa wa Rukwa Injini Stella Manyanya akizungumza na kutoa taarifa ya
 mkoa wake katika suala zima la uwekezaji mkoani Kwake Waziri
 wa Uwezeshaji na Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt. Mary Nagu 
akizungumza katika kongamano hilo lililofanyika mjini Mpanda leo
Waziri
 wa Uwezeshaji na Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt. Mary Nagu 
akizungumza katika kongamano hilo lililofanyika mjini Mpanda leo Mabalozi
 mbalimbali wamehudhuria katika sherehe hizo za uzinduzi wa mkoa wa 
Katavi kutoka Burundi, Zambia, Misri, Japan na DRC Kongo
Mabalozi
 mbalimbali wamehudhuria katika sherehe hizo za uzinduzi wa mkoa wa 
Katavi kutoka Burundi, Zambia, Misri, Japan na DRC Kongo 
 





No comments:
Post a Comment