Pages


Photobucket

Sunday, November 11, 2012

SHIBUDA NDANI YA MKUTANO MKUU WA CCM


John Magale Shibuda akimsikiliza kwa makini Katibu wa NEC ,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye ndani ya ukumbi wa Kizota,kwenye mkutano mkuu wa nane wa Chama Cha Mapinduzi


Kapteni John Chiligati akibadilishana mawazo na John Magale Shibuda kwenye ukumbi wa Kizota, ambapo mkutano mkuu wa nane wa CCM unafanyika.

No comments:

Post a Comment