Pages


Photobucket

Saturday, November 3, 2012

MAFURIKO WILAYA YA BAHI-DODOMA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi (Katikati) akiwakabidhi Mkuu wa Wilaya ya Bahi Betty Mkwasa (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya hiyo Ernest msaada wa unga wa mahindi kwa ajili ya watu waliokumbwa na maafa yaliyosababishwa na mvua zilizonyesha Novemba 1, 2012.

No comments:

Post a Comment