 MARA
 kwa mara jamii imekuwa ikisikia Wanajeshi wakiwapiga Askari wa Usalama 
barabarani hasa Jijini Dar es Salaam Trafiki wa Moshi  huenda 
wamechoshwa na unyanyasaji huo kwa walinzi hawa wa amani na wasimamizi 
wa sheria amapo huko Mkoani Kilimanjaro, Askari wa kikosi cha usalama 
barabarani mjini Moshi ambao majina yao
 hayakufahamika wakimpiga askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)
 katika kituo kikuu cha mabasi mjini hapa hivi karibuni,baada ya
 kutokea kutoelewana,mwanajeshi huyo alikuwa akimtetea dereva wa Hiace
 aliyeshikwa na trafiki hao.//Picha na Nakajumo James.
MARA
 kwa mara jamii imekuwa ikisikia Wanajeshi wakiwapiga Askari wa Usalama 
barabarani hasa Jijini Dar es Salaam Trafiki wa Moshi  huenda 
wamechoshwa na unyanyasaji huo kwa walinzi hawa wa amani na wasimamizi 
wa sheria amapo huko Mkoani Kilimanjaro, Askari wa kikosi cha usalama 
barabarani mjini Moshi ambao majina yao
 hayakufahamika wakimpiga askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)
 katika kituo kikuu cha mabasi mjini hapa hivi karibuni,baada ya
 kutokea kutoelewana,mwanajeshi huyo alikuwa akimtetea dereva wa Hiace
 aliyeshikwa na trafiki hao.//Picha na Nakajumo James.Sunday, November 4, 2012
MWANAJESHI WA JWTZ ACHEZEA KICHAPO KUTOKA KWA ASKARI WA USALAMA BARABARANI MJINI MOSHI
 MARA
 kwa mara jamii imekuwa ikisikia Wanajeshi wakiwapiga Askari wa Usalama 
barabarani hasa Jijini Dar es Salaam Trafiki wa Moshi  huenda 
wamechoshwa na unyanyasaji huo kwa walinzi hawa wa amani na wasimamizi 
wa sheria amapo huko Mkoani Kilimanjaro, Askari wa kikosi cha usalama 
barabarani mjini Moshi ambao majina yao
 hayakufahamika wakimpiga askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)
 katika kituo kikuu cha mabasi mjini hapa hivi karibuni,baada ya
 kutokea kutoelewana,mwanajeshi huyo alikuwa akimtetea dereva wa Hiace
 aliyeshikwa na trafiki hao.//Picha na Nakajumo James.
MARA
 kwa mara jamii imekuwa ikisikia Wanajeshi wakiwapiga Askari wa Usalama 
barabarani hasa Jijini Dar es Salaam Trafiki wa Moshi  huenda 
wamechoshwa na unyanyasaji huo kwa walinzi hawa wa amani na wasimamizi 
wa sheria amapo huko Mkoani Kilimanjaro, Askari wa kikosi cha usalama 
barabarani mjini Moshi ambao majina yao
 hayakufahamika wakimpiga askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)
 katika kituo kikuu cha mabasi mjini hapa hivi karibuni,baada ya
 kutokea kutoelewana,mwanajeshi huyo alikuwa akimtetea dereva wa Hiace
 aliyeshikwa na trafiki hao.//Picha na Nakajumo James.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
 
 


No comments:
Post a Comment