Pages


Photobucket

Sunday, December 9, 2012

Mkutano Wa SADC Wamalizika Na Maazimio Yatolewa Katika Mkutano Wa Wanahabari


Baadhi ya wapiga picha za televisheni mbalimbali kutoka nchi wanachama wa SADC wakichukua matukio
 Rais Kikwete (kushoto) akiagana na Katibu wa SADC Tomaz Salomao baada ya kumalizika mkutano wa dharura wa SADC

 Rais kikwete (kushoto) akijibu masuali ya waandishi wa habari, (kati) Mk wa SADC Armando Guebuza (kulia)katibu wa SADC
 katibu wa SADC Tomaz Salomao (kulia) akisoma maazimio ya kikao, (shoto ) Mk wa SADC Rais Armando Guabuza wa Mozambique

         Picha zote na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO.

No comments:

Post a Comment