Pages


Photobucket

Friday, December 21, 2012

Makamu Wa Rais Asaini Kitabu Cha Maombolezo Ya Kifo Cha Aliyekuwa Mbunge Wa Tabora Mjini- Siraju Kaboyoga


 
Makamu wa Rais Dk. Mohammed Galib Bilal, akisaini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Tabora mjini,Siraju Kaboyonga, aliyefariki dunia juzi na kuzikwa jana jijini Dar es Salaam. Makamu alifika kuhani msiba huo nyumbani kwa marehemu Sinza jijini Dar es Salaam jana.Katikati ni Balozi Mstaafu, Hashim Mbita .
 
Makamu wa Rais akiagana na waombolezaji wakati akiondoka eneo hilo.
  
Picha na OMR

No comments:

Post a Comment