Pages


Photobucket

Monday, September 2, 2013

RWANDA YAPANDISHA USHURU WA MAGARI YA MIZIGO YANAYOTOKA TANZANIA

Serikali ya Rwanda imeongeza ushuru wa barabara (ROAD TOLL) kwa magari yote ya Mizigo (Fuel and Dry Cargo) yenye plate numbers za Tanzania kutoka USD 152 mpaka USD 500 kwa kila gari.
Kwa taarifa ambazo sio rasmi, kwa siku magari ya mizigo takribani 300 yanavuka Rusumo  ambapo  ni  mpakani mwa Tanzania na Rwanda na zaidi ya asilimia 95% ya magari hayo yana plate number  za Tanzania.
Wamiliki wa Malori wameiomba serikali kuingilia kati ili kunusuru hali  hiyo.

No comments:

Post a Comment