Pages


Photobucket

Tuesday, September 17, 2013

MSANII MADEE ATUMIA MIL.125 KWENYE UJENZI WA NYUMBA YAKE YA MBENZI MAKABE . SOMA HAPA

Msanii kutoka kundi la Tip Top Connection Madee amesema kuwa nyumba yake aliyojenga maeneo ya Mbezi ya Morogogo Road mpaka sasa imemgharimu karibia milioni 125 na bado nyumba hiyo haijakamilika kama anavyotaka yeye.
Madee alisema kuwa alianza kujenga nyumba hiyo kama miaka 4 iliyopita na amesema kuwa ni pesa anazopata kwenye muziki peke yake tangua aanze kama miaka 14 iliyopita. Mungu akipenda amepanga kuhamia siku ya b'day yake mwakani tarehe 23 April.

No comments:

Post a Comment