Pages


Photobucket

Saturday, January 5, 2013

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Atembelea Hifadhi ya Katavi


 Simba jike akiwa katika mawindo kwenye hifadhi ya Katavi.
  Waziri Mkuu Mizengo Pinda atembelea hifadhi ya katavi  na kuweza kuona wanyama waliopo katika hifadhi hiyo. Kulia ni mkewe Tunu Pinda akiwa ana tumia kiona mbali kuangalia simba waliokuwa katika mawindo kwa nyuma ni Sheni Abdallah Mkurugenzi Mkuu wa Katuma Bush Lodge iliyopo katika hifadhi ya katavi.Picha na Chris Mfinanga

No comments:

Post a Comment