Pages


Photobucket

Saturday, January 26, 2013

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma apokea ujumbe wa Sekretarieti ya CCM leo,unaoelekea mkoani Kigoma



Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Dkt. Rehema Nchimbi (katikati) akiongoza mapokezi ya ujumbe wa Sekretarieti ya CCM,unaoelekea mkoani Kigoma mapema asubuhi hii kwa usafiri wa treni,ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Ndg. Abdulrahman Kinana (wa pili kulia) kwenye maadhimisho ya miaka 36 ya chama cha Mapinduzi CCM yatakayo adhimishwa mkoani humo.
 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Ndg. Abdulrahman Kinana akizungumza na Wanachama wa CCM mkoani Dodoma waliokuwa wamefika Stesheni ya Dodoma asubuhi hii kuwalaki Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM,wanaoelekea mkoani Kigoma kwa usafiri wa treni kwenye maadhimisho ya miaka 36 ya chama cha Mapinduzi CCM,Wajumbe wa Sekretarieti ya NEC wameondoka jana jijini Dar kwenda Mkoani Kigoma kuadhimisha miaka 36 ya Chama hicho.Kushoto kwake ni Katibu wa NEC,Siasa na Mahusiano ya Kimataifa,Dkt. Asha-Rose Migiro na kulia kwake ni Katibu wa NEC,Itikaji na Uenezi CCM,Nape Nnauye 
 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Ndg. Abdulrahman Kinana akiagana na baadhi ya WanaCCM wa Mkoani Dodoma waliofika kuwalaki na kuwatakia safari njema Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM,wanaoelekea mkoani Kigoma kwa usafiri wa treni kwenye maadhimisho ya miaka 36 ya chama cha Mapinduzi CCM,Wajumbe wa Sekretarieti ya NEC wameondoka jana jijini Dar kwenda Mkoani Kigoma kuadhimisha miaka 36 ya Chama hicho.
 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Ndg. Abdulrahman Kinana akiwaaga Wanachama wa CCM mkoani Dodoma waliokuwa wamefika Stesheni ya Dodoma asubuhi hii kuwalaki Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM,wanaoelekea mkoani Kigoma kwa usafiri wa treni kwenye maadhimisho ya miaka 36 ya chama cha Mapinduzi CCM
Katibu wa NEC,Itikaji na Uenezi CCM,Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika stesheni ya treni Mkoani Dodoma Mapema leo asubuhi.

Katibu wa NEC,Siasa na Mahusiano ya Kimataifa,Dkt. Asha-Rose Migiro  akiwa ndani ya treni asubuhi hii akiwapungia mkono WanaCCM wa Mkoani Dodoma waliofika kuwalaki na kuwatakia safari njema Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM,wanaoelekea mkoani Kigoma kwa usafiri wa treni kwenye maadhimisho ya miaka 36 ya chama cha Mapinduzi CCM

1 comment:

  1. PESA ZA MAJINI AU NDAGU

    SOMA hii usaidike

    DOKTA MDIRO
    +255 742162843 call/whatsup

    KILA MTU ANA HAKI YA KUYAFRAHIA MAISHA KADRI ANAVYOTAKA HAKUNA MTU AMBAE AMEUMBWA KWAAJILI YA UMASIKINI KILA MTU ANAYO THAMANI MBELE YA MUUMBA
    USITESEKE NA UMASIKINI ULIO NAO SASA NJIA ZIPO ZA KUJISAIDIA AMBAZO HAZITAKUFANYA UMKOSEE MUUMBA WAKO KWASABABU HUTAMTOA MTOTO BABA WALA MAMA YAKO.

    NB. MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA.

    KWA MAELEKEZO ZAIDI PIGA SIMU SITAJIBU UJUMBE WOWOTE ULE ISIPOKUA KWA WALIO NJE YA NCHI AMBAO WATATUMIA NJIA YA WHATSAPP TU.

    NI KWELI UNAPENDA KUWA MIONGONI MWA WATU WALIO MILIKISHWA UTAJIRI HUU WA PESA ZA MAJINI AU NDAGU KWA MUDA MCHACHE KWA MASHARTI NAFUU SANA KIKUBWA UWE NA NIA, MSIRI, LENGO LA PESA NA NIDHAMU.

    NDAGU NA MAJINI MPAKA MASAA 48(siku mbili) KUONA MATOKEO KIKUBWA UWE TAYARI KUPOKEA MASHARTI.

    KAMA KWELI UNA UTAYARI DHAMIRA NDANI YA MOYO WAKO BASI UTAJIRI HUU UTAUMILIKI NA KUWASHANGAZA WATU AMBAO WALIKUBEZA NA KUKUDHALAU KWENYE MAISHA YAKO.

    KATIKA HILI NAHITAJI MTU
    UWE MSIRI.
    UWE NA NIA YA KWELI(husije kujaribu).
    UWE NA MIAKA 20+
    UWE NA MALENGO
    UWE NA NIDHAMU

    ANGALIZO: HUSITUME SMS PIGA SIMU KUEPUKA MATAPELI UWEZE KUPATIWA MAELEKEZO KWA UREFU ZAIDI.

    DOKTA MDIRO
    +255 742162843 call/whatsup

    ReplyDelete