Pages


Photobucket

Wednesday, January 29, 2014

TAZAMA PICHA ZA RIHANNA AKIJIACHIA NA MUME WA BEYONCE, JAY Z ZILIZOSABABISHA KUZUA GUMZO NA MINONG'ONO!!

Pati ya awali ya The Roc Nation kwa ajili ya tuzo za awali za Grammy Brunch ilifanyika LA mnamo siku ya Jumamosi, January 25, 2014 huku ikihusisha nyota wengine toka Hollywood.

Uwepo wa Jay Z na Rihanna kilikuwa ni moja kati ya vitu vilivyogusa watu wengi waliofika kwenye tukio hilo kwa maswali kutokana aina ya pozi na kwa vile walivyokuwa pamoja.

Cheki hapo chini picha za tukio hilo...
 Hapa ni Rihanna na Jay Z wakichat kimtindo
Rihanna alifika kwenye tukio hilo akiwa na top moja matata huku ndani yake akiacha kuvaa bra na sketi ya toleo la Altuzzara spring 2014.
Wageni wengine wliokfika alikuwepo watoto wa Will Smith, Jaden na Willow Smith, Ne-Yo, pia marapa T.I., J. Cole na Wale.  
credit- danchibo

No comments:

Post a Comment