Pages


Photobucket

Saturday, January 4, 2014

MWENYEKITI WA TAHLISO 2013/2014 AKUTANA NA RAIS WA COBESO MHE; REMIDIUS

Mwenyekiti (Mhe;Musa  Mdede )  wa TAHLISO 2013/2014 leo akiwa safarini baada ya kupita Mjini Dodoma akiwa na timu yake wakati Wakitokea Mkoani Rukwa katika mashindano ya michezo yaliyo husisha vyuo vya SAUT, alikutana na viongozi wa COBESO chini ya Rais Mhe; Remidius M. Emmanuel. Mwenyekiti huyo ambaye ni Rais wa Chuo kikuu cha Bugando amefurahishwa na ukarimu wa Rais wa COBESO na kuahidi atafika chuo cha Elimu ya Biashara CBE Dodoma.
 Rais akiongozana na viongozi wengine kukutana na mwenyekiti huyo ikiwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Speaker, Waziri katika ofisi ya Rais kwenye wizara maalum na Katibu Mkuu wa Habari na Mahusiano.
 Hii ni sehemu sehemu waliposimama nakupata chai ya asubuhi maeneo ya soko kuu la Majengo Dodoma
 Akielezea jinsi safari ilivyokuwa mpaka kufika hapa Dodoma
 Mhe; akiorodhesha majina yake katika kitabu cha wageni cha COBESO
 Wakipata kifungua kinywa hapa Katibu mkuu kiongozi kushoto na Waziri katika ofisi ya Rais kwenye wizara maalum
  Katibu mkuu kiongozi
 Mwenyekiti akiwa na Rais wakipata kifungua kinywa

 Mazungumzo  yakaendelea hapa na pale




 Mkono wa kheri ulitolewa na Mwenyekiti kwa Rais Mhe; Remidius

 Mwenyekiti akitoa mkono wa kheri kwa Waziri katika ofisi ya Rais kwenye wizara maalum
  Mwenyekiti akitoa mkono wa kheri kwa Speaker
  Mwenyekiti akitoa mkono wa kheri kwa Katibu Mkuu Kiongozi
Huu ndio usafiri uliotumiwa na Mwenyekiti wakiwa safarini na hapa ni Majengo Dodoma

No comments:

Post a Comment