Pages


Photobucket

Thursday, May 16, 2013

SUPER STAR LADY J DEE LEO AKANA UVUMI WA KUUSALITI UTANZANIA


 Staa wa bongo kupitia bongo fleva amekanusha uvumi kuwa yeye atahama nchi yake na hichi ndicho alicho kiandika kupitia ukurasa wake wa twitter 
 
Lady JayDee @JideJaydee

"Kuna muda pesa tu ndio inaongea sijui nihamie Kenya nikaombe uraia huko? Au Malawi labda, mtanifuata?"
 

''Hivi watu huwa hawajui kutofautisha masihara na ukweli eti? Sasa nihame nchi kwa kumuogopa nani? hahami mtu hapa''

No comments:

Post a Comment