Pages


Photobucket

Thursday, May 9, 2013

Ponda ahukumiwa? Thursday, May 9, 2013 · Posted in Dini Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo imemuhukumu Katibu na Kiongozi wa Jumuiya za Kiislamu Sheikh Issa Ponda kifungo cha nje cha mwaka mmoja na kutakiwa kutofanya kosa lolote katika kipindi cha miezi 12. Angalia picha za yaliyojiri Mahakamani Kisutu leo hapa chini Bonyeza hapa kusoma zaidi » No Comments » Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook Simba kuivaa Mgambo bila Ngassa, Kaseja Wednesday, May 8, 2013 · Posted in Michezo na Burudani WEKUNDU wa Msimbazi Simba, leo inashuka dimbani kuvaana na Mgambo Shooting, katika mchezo utaopigwa katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, huku ikiwakosa nyota wake mahiri, Juma Kaseja, Mrisho Ngassa na Mwinyi Kazimoto kutokana na sababu mbalimbali. Bonyeza hapa kusoma zaidi » No Comments » Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook Dk. Nchimbi amtega Tundu Lissu · Posted in Siasa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi, amemtaka Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), kugombea urais ili aweze kufukuza kazi mawaziri. Akichangia hotuba ya bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka 2013/2014, Lissu alitaka Dk. Nchimbi na Mkuu wa Jeshi la Polisi, Said Mwema, wajiuzulu ama wafukuzwe kazi kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo hali iliyosababisha chokochoko zinazoendelea. Bonyeza hapa kusoma zaidi » No Comments » Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook Mahakama yawafutia Lwakatare, Ludovick mashitaka ya ugaidi... · Posted in Siasa Picture Mahakama Kuu ya Tanzania imewafutia mashitaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanawakabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare na Ludovick Joseph. Taarifa zilizotufikia zinasema kuwa Mahakama hiyo imebakiza shitaka moja tu, la kula njama ya kuteka na kudhuru, kosa ambalo kimsingi ni la jinai na lenye dhamana. watuhumiwa wamerudishwa rumande kwa kuwa dhamana haikuwa imeandaliwa. Picha: Mzuka wa Fungo blog No Comments » Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook Nafasi za AJIRA Kada ya AFYA 2012 2013 · Posted in Ajira TANGAZO NAFASI ZA AJIRA KADA ZA AFYA 2012 2013- MARUDIO.doc TANGAZO NAFASI ZA AJIRA KADA ZA AFYA 2012 2013- MARUDIO.doc 30K View Download No Comments » Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook Nigeria:watu 55 wauawa katika shambulio

Jeshi nchini Nigeria limesema watu hamsini na watano wameuawa huko kaskazini mashariki mwa Nigeria katika mashambulio yaliyofanywa na wanamgambo wa kundi la Boko Haram. Taarifa zinasema, wafungwa 105 walitoroshwa katika shambulio hilo mapema alfajiri lililotokea katika jimbo la Bama, Borno. Aidha, mashahidi na jeshi linasema kituo cha polisi cha Bama, majengo ya serikali na kambi za kijeshi ziliteketezwa kwa moto.

No comments:

Post a Comment