Pages


Photobucket

Thursday, June 20, 2013

LIL WAYNE APATA KASHIKASHI BAADA YA KUKANYAGA BENDERA YA MAREKANI


Kukanyaga bendera ya nchi yako ni wazi unaitusi nchi yako au ni kukosa heshima hayo ni maneno wanaojiuliza wamarekani walio wengi kutokana na kitendo alichokifanya mwanamuziki Lil Wayne kuikanyaga bendera ya nchi yake kwa makusudi kama vile tambala la deki.

Tukio hilo limetokea hivyo karibuni alipokuwa anafanya shoot muimbaji huyo alianza kurap mbele ya bendera kubwa ya Marekani ambayo baada ya muda ilitupwa chini na muimbaji huyo na kuikanyaga huku akiendelea kuimba.


Baada ya kushambuliwa na kushangazwa na mashabiki wake Lil Wayne ametoa ufafanuzi kuhusu tukio hilo na kudai kuwa hakuikanyaga kwa maksudi kwani kipande kilichokuwepo kwenye nyimbo hilo kilionyesha kuimba kwa kutumia bendera hiyo lakini kuikanyaga ilikuwa ni bahati mbaya kwani hakuiona

No comments:

Post a Comment