
Keys alisema kuwa anakumbuka January mwaka huu walikuwa pamoja na mama huyo pamoja na mambo mengi alizungumza naye mambo mengi yanayohusu maisha hususani kwa wanawake ambao wanataka maendeleo kama yeye.
Alisema mfano mzuri kwake ni muimbaji mwenzake ambaye pia ni rafiki yake Rihanna anamuheshimu na kumpongeza kwa mafanikio yake ma kuwa ni mmoja ya wanawake wa kuigwa.
No comments:
Post a Comment