Pages


Photobucket

Sunday, February 3, 2013

Rais Kikwete aongoza Matembezi ya Mshikamano ya Maadhimisho ya Miaka 36 ya CCM mkoani Kigoma leo


 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM},Rais Jakaya Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete leo wameongoza Matembezi ya Mshikamano yaliyoanzia kwenye eneo la Mnarani na kuishia kwenye ofisi za CCM mkoani Kigoma,asubuhi ya leo. Matembezi hayo hayo yamehudhuliwa na viongozi mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi.
 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM},Rais Jakaya Kikwete akionekana kuwapungia wananchi wa Mkoa wa Kigoma waliokuwa wamejipanga kwa wingi pembezoni kwa barabara Lumumba/Ujiji asubuhi ya leo.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM},Rais Jakaya Kikwete akiongoza matembezi hayo.
Maandamano yakiendelea

No comments:

Post a Comment