Pages


Photobucket

Wednesday, February 20, 2013

RAIS DK.SHEIN ATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA PADR EVARISTUS MUSHI

Maziko ya Padre Evaristus Mushi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein leo ameungana na viongozi wa dini, waumini pamoja na wananchi wenye mapenzi mema, katika kutoa salamu ya mwisho kwa mwili wa Marehemu Padre Evaristus Mushi, kwenye Kanisa la Minara Miwili Mjini Zanzibar, aliyefariki kwa kupigwa risasi na watu wasijuilikanwa Jumapili iliyopita.

Mwili wa marehemu Padre Mushi unapumzikwa leo Kitope Wilaya ya Kaskazini B, Unguja .

No comments:

Post a Comment