Pages


Photobucket

Monday, February 4, 2013

Mbunge wa Arusha Mjini Lema-CHADEMA amekabidhiwa Kiwanja cha kujenga hospitali ya Mama na Mtoto


CHADEMA ikiongozwa na kamanda Godbless Lema Mbunge wa Arusha Mjini na Mwenyekiti wa CHADEMA taifa wamekabidhiwa kiwanja cha ekari 3 cha kujenga hospitali ya Mama na Mtoto. 

Hii ni utekelezaji wa ahadi aliyowa kuwaahidi wananchi wa Arusha katika uchaguzi wa 2010. Kiwanja hicho chenye thamani ya dolla za kimarekanai USD300,000 sawa na Tsh 480,000,000/ kimekabidhiwa na kampuni ya Mawala Advocates waliowakilishwa na moja ya mawakili na wakurugenzi wa kampuni hiyo.


No comments:

Post a Comment