Pages


Photobucket

Thursday, December 12, 2013

VIKAO VYA TAHLISO VIMEANZA RASMI JANA (11/12/2013)KATIKA CHUO KIKUU CHA BUGANDO MWANZA

 Rais wa Chuo cha Elimu ya Biashara  (CBE) Kampasi ya Dodoma  Bw. Remidius  Emmanuel (wa kwanza kutoka kulia) akifuatilia mwenendo wa kikao hicho,Pembeni ni Bw. Antony Mapande Rais wa chuo kikuu cha Hubert   Kairuki Memorial.
 Katibu mkuu wa TAHLISO Donati Salla akiwasilisha taarifa ya utendaji  ya mwaka mzima katika kikao hicho cha 'Senate' kilicho jumuisha  Marais wa vyuo vikuu na Taasisi za Elimu ya juu nchini Tanzania.
 Rais wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwl  Nyerere  Bi. Eshe  Mzee  (aliyesimama)  akichangia  taarifa iliyosomwa na Katibu mkuu wa TAHLISO

 Muonekano wa meza  kuu,iliyojumuisha  viongozi wa TAHLISO
  Mwenyekiti wa TAHLISO  Bw. Amon  Chakushemeire   akizungumza na wajumbe wa mkutano wa  SENATE
    Makamu wa Rais Chuo kikuu cha  UDOM  Bw. Mahamudu  Rashidi  Hussein  (wa kwanza  kutoka kulia) akifuatilia kwa umakini  mwenendo wa kikao  hicho.                       
                                                      Baadhi ya  Ma-Rais wa vyuo mbalimbali 

No comments:

Post a Comment