
Kocha huyo akikabidhiwa taji la maua na mashabiki baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Dar.


Kocha mpya wa Simba SC, Mserbia Zdravko Lugarusic amesaini Mkataba wa miezi sita mbele ya Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe leo mchana Mbezi, Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment