Pages


Photobucket

Sunday, October 13, 2013

Kuhusu Rais Kenyatta kutohudhuria kesi Mahakamani The Hague


Uhuru Kenyatta 11
Imefahamika kwamba Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya hatohudhuria vikao vya kesi dhidi yake kwenye Mahakama ya ICC The Hague haya yakiwa ni maafikiano ya viongozi wa Afrika kwenye kongamano la Umoja wa Afrika Ethiopia.
Mkutano huo unakusudia kuwatuma Marais watano wa Afrika nchini Uholanzi ili kuitaka Mahakama hiyo kuahirisha kesi ya rais Kenyatta itakayoanza November 12 ambapo pia mkutano huu umesema hata Naibu Rais William Ruto hafai kushtakiwa kwenye Mahakama hiyo ya ICC.

No comments:

Post a Comment