Pages


Photobucket

Saturday, February 1, 2014

CCM YAZIDI KUJIIMARISHA MBEYA MJINI

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akigawa kadi kwa wanachma wapya waliojiunga na CCM baada ya kuzindua shina la Wakereketwa la Madereva wa Bodaboda Inyara,Iyunga mkoani Mbeya.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Inyara, Iyunga mjini mkoani Mbeya baada ya kuzindua shina la wakereketwa ambapo aliwaambia CCM imejiandaa vya kutosha kwa ushindi wa 2015..
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa kwenye picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Inyara ,Iyunga baada ya kuzindua shina la wakereketwa la madereva wa Boda Boda.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo wa  Inyara ,Iyunga mkoani Mbeya.

Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Iyunga mara baada ya kufungua shina la wakereketwa ambapo alisisitiza kwa madereva wa boda boda kuwa Umoja ni Ushindi hivyo kukiwa na umoja dhabiti kati yao basi watafanikiwa sana na aliwasihi vijana waepuke dhambi ya kubaguana.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa na dereva wa BodaBoda wa Iyunga Itika Mwangosi ambaye amejiunga na chama cha mainduzi na kukabidhiwa kadi yake na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi .
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na baadhi ya viongozi wa CCM Iyunga mara baada ya kufungua shina no.3 la Bodaboda .
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na mmoja wa wapenzi wa CCM aliyekuwa akisafiri kwa Bajaj ,Soweto mjini Mbeya.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akitembea mitaa ya Soweto kwenda kufungua shina la wakereketwa wauza chakula na wauza matairi kata ya Ruanda,Jumla ya mashina manne yalizinduliwa leo mjini Mbeya.

No comments:

Post a Comment